forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
387 B
Markdown
16 lines
387 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea na wazo lake kwa waisraeli kuamini lakini akisisitiza kwamba wale walio wayahudi na yoyote yule anaweza kuokolewa kwa imani katika Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Hapa ina maanisha wakristo wenzetu, ikijumuisha wote wanuame na wanawake.
|
||
|
|
||
|
# shauku ya moyo wangu
|
||
|
|
||
|
"shauku yangu kuu"
|
||
|
|
||
|
# ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao
|
||
|
|
||
|
"ni Mungu atakaye waokoa wayahudi"
|