forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
483 B
Markdown
20 lines
483 B
Markdown
|
# Miili yao
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha miili ya mashahidi wawili.
|
||
|
|
||
|
# katika mtaa wa mji mkuu
|
||
|
|
||
|
Mji ulikua na zaidi ya mtaa mmoja. Hii ilikuwa sehemu ya wazi ambapo watu waliweza kuwaona. "kwenye mtaa mojawapo wa mji mkuu" au "kwenye mtaa mkuu katika mji mkuu"
|
||
|
|
||
|
# siku tatu na nusu
|
||
|
|
||
|
"Siku 3 kamili na nusu moja ya siku" au "siku 3.5" au "siku 3 1/2"
|
||
|
|
||
|
# Bwana wao
|
||
|
|
||
|
Walimtumikia Bwana na kama yeye, watakufa katika huo mji.
|
||
|
|
||
|
# hawatatoa kibali kuwekwa katika kaburi
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ishara ya dharau.
|