forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
874 B
Markdown
20 lines
874 B
Markdown
|
# Msifuni, juana mwezi
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumza na jua na mwezi kana kwamba ni watu na anaziamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, jua na mwezi, kama watu wafanyavyo"
|
||
|
|
||
|
# msifuni, nyota zote zinazong'aa
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumza na nyota kana kwamba ni watu na anaziamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, nyota wa kung'aa, kama watu wafanyavyo"
|
||
|
|
||
|
# Msifuni, mbingu ya juu zaidi
|
||
|
|
||
|
Msemo "mbingu ya juu zaidi" ni lahaja ya kumaanisha mbingu yenyewe. Mwandishi anazungumza na mbingu kwan kwamba ni mtu na anaiamuru kumsifu Yahwe. "Msifu yahwe, mbingu iliyo juu zaidi, kama watu wafanyavyo"
|
||
|
|
||
|
# nyie maji mlio juu ya anga
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumza na "maji mlio juu ya anga" kana kwamba ni watu na anayaamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, maji mlio juu ya anga, kama watu wafanyavyo"
|
||
|
|
||
|
# maji mlio juu ya anga
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia sehemu juu ya anga ambapo maji huhifadhiwa na mvua hutokea.
|