forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
915 B
Markdown
20 lines
915 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania.
|
||
|
|
||
|
# wimbo wa upaaji
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi."
|
||
|
|
||
|
# Amebarikiwa kila mtu anayemheshimu Yahwe
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatoke katika sauti isiyotenda kuashiria kuwa Yahwe halazimiki kumbariki mtu anayemheshimu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atambariki kila mtu anayemheshimu"
|
||
|
|
||
|
# Kile ambacho mikono yako huleta
|
||
|
|
||
|
Mtu anaweza kutambulika kwa mikono yake kwa sababu hiyo ndio sehemu ya mwili anayotumia kufanyia kazi. "Unacholeta" au "Unachofanyia kazi"
|
||
|
|
||
|
# utabarikiwa na kufanikiwa
|
||
|
|
||
|
Maneno "kubarikiwa" na "kufnikiwa" ina maana ya kukaribiana na inasisitiza fadhili za Mungu. "Yahwe atakubariki na kukufanikisha" au "Yahwe atakufanya ubarikiwe na ufanikiwe"
|