forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
521 B
Markdown
12 lines
521 B
Markdown
|
# Ongoza hatua zangu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "hatua" inamwakilisha mwandishi anavyotembea. Anazungumzia jinsi anavyoishi, au mwenendo wake, kana kwamba alikuwa akitembea katika njia. "Niongoze" au "Nifundishe jinsi ya kuishi"
|
||
|
|
||
|
# usiache dhambi yoyote initawale
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia dhambi kana kwamba ni mtu mwenye mamlaka juu yake. Maana zinazowezekana ni 1) "usiniache nifanye dhambi yoyote kwa mazoea" au 2) "usiache watu wenye dhambi wanitawale"
|
||
|
|
||
|
# Niokoe na ukandamizaji wa wanadamu
|
||
|
|
||
|
"Niokoe na watu wanaowakandamiza wengine"
|