forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
451 B
Markdown
16 lines
451 B
Markdown
|
# AYINI
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la herufi ya kumi na sita ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 121-128 unaanza na herufi hii.
|
||
|
|
||
|
# usiniache kwa wakandamizaji wangu
|
||
|
|
||
|
"usiwaruhusu watu wanikandamize"
|
||
|
|
||
|
# Hakikisha ustawi wa mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anajizungumzia kama "mtumishi wako." "Hakikisha ustawi wangu" au "Nisaidie na unilinde mimi, mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# wenye kiburi
|
||
|
|
||
|
"wale walio na kiburi" au "watu wenye kiburi"
|