forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
489 B
Markdown
12 lines
489 B
Markdown
|
# Sauti ya kelele ya ushindi inasikika katika mahema ya wenye haki
|
||
|
|
||
|
"Watu husikia kelele ya furaha katika mahema ya wenye haki" au "Wenye haki wanapiga kelele kwa furaha ya ushindi kwenye mahema yao"
|
||
|
|
||
|
# mkono wa kuume wa Mungu unashinda
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkono" linawakilishi uwezo wa Yahwe. "Yahwe ameshinda kwa nguvu yake kuu"
|
||
|
|
||
|
# mkono wa kuume wa Mungu unashinda
|
||
|
|
||
|
Hapa, kuinua mkono ni ishara ya ushindi. "Yahwe ameinua mkono wake wa kuume" au "Yahwe ameinua mkono wake wa kuume kwa ushindi"
|