forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
363 B
Markdown
12 lines
363 B
Markdown
|
# Acha nyumba ya Haruni iseme
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "nyumba" linawakilisha familia na uzao wa mtu. Msemo huu unamaanisha makuhani, ambao walikuwa uzao wa Haruni. "Acha uzao wa Haruni useme" au "Acha makuhani waseme"
|
||
|
|
||
|
# Uaminifu wake wa agano unadumu milele
|
||
|
|
||
|
"Anatupenda kwa uaminifu milele"
|
||
|
|
||
|
# wafuasi waaminifu wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"wale wanaomcha Yahwe" au "wale wanaomwabudu Yahwe"
|