sw_tn/psa/112/010.md

16 lines
666 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# ataona hili
"ataona kuwa vitu vinaenda vizuri kwa mtu mnyofu." Neno "hili" linamaanisha kila kitu kizuri ambacho mwandishi alieleza katika mstari ulipoita kuhusu mtu mnyofu.
# atasaga meno
Kusaga meno ilikuwa ni ishara ya daharu.
# kuyeyuka
Mwandishi anamzungumzia hatima ya kifo cha mtu mwovu kana kwamba huyo mtu ni kitu, kama barafu inayoweza kuyeyuka. "hatimaye atakufa"
# hamu ya watu waovu itaangamia
Maana zinazowezekana za "hamu" ni 1) hamu ya kihisia waliyo nayo watu waovu. "vitu ambavyo watu waovu wanataka kufanya havitawahi kutokea" au 2) ni njia nyingine yakusema vitu ambavyo watu waovu wanatamani. "watu waovu watapoteza vitu wanavyotamani"