forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
805 B
Markdown
40 lines
805 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# weka katika Gitithi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya wana wa Kora
|
||
|
|
||
|
"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika"
|
||
|
|
||
|
# Panapendeza kiasi gani
|
||
|
|
||
|
"Ni pazuri kiasi gani"
|
||
|
|
||
|
# na shauku na nyua za Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Ninatamani sana kuwa katika nyua za Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# nyua za Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyua" inawakilisha hekalu.
|
||
|
|
||
|
# hamu yangu kwa kwa hizo imanichosha
|
||
|
|
||
|
"hamu yangu imenichosha" au "nimechoka kwa sababu ninaitaka sana"
|
||
|
|
||
|
# Moyo wanguna kila kitu ndani yangu kinamwita
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "Niita kwa kila kitu ndani yangu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu aliye hai
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu yu hai na pia ana uwezo wa kusababisha vitu vingine kuishi.
|