forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
360 B
Markdown
12 lines
360 B
Markdown
|
# daima niko na wewe
|
||
|
|
||
|
Anayezungumza hapa ni Asafu. Anayezungumziwa ni Mungu.
|
||
|
|
||
|
# unanishika mkono wangu wa kuume
|
||
|
|
||
|
hii inaonesha mahusiano ya karibu na Mungu yanayotoa uimara na ulinzi. "unanishika karibu"
|
||
|
|
||
|
# kunipokea katika utukufu
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "unaniweka mahali ambapo watu wataniheshimu" au 2) "nipe heshima kwa kunipeleka mahali ambapo upo."
|