forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
828 B
Markdown
28 lines
828 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Asafu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni zaburi Asafu ambayo aliandika"
|
||
|
|
||
|
# miguu yangu kidogo iteleze; miguu yangu kidogo iteleze chini yangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa zaburi anazungumzia kushindwa kumwamini Mungu na kutaka kutenda dhambi kama vile kidogo aanguke kwenye njia inayo teleza. "Kidogo niache kumwamini Mungu, kidogo niwe na hatia ya kutenda dhambi kubwa dhidi yake"
|
||
|
|
||
|
# niliwaonea wivu wenye kiburi
|
||
|
|
||
|
"sikutaka watu wenye kiburi wawe na vitu vizuri walivyo kuwa navyo"
|
||
|
|
||
|
# wenye kiburi
|
||
|
|
||
|
Kivumishi "kiburi" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "watu wenye kiburi"
|
||
|
|
||
|
# mafanikio ya waovu
|
||
|
|
||
|
Neno "mafanikio" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "jinsi waovu walivyo na vitu vingi vizuri"
|
||
|
|
||
|
# waovu
|
||
|
|
||
|
Kivumishi "waovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "watu waovu"
|