forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
882 B
Markdown
28 lines
882 B
Markdown
|
# Aje chini kama mvua juu ya nyasi zilizofyekwa
|
||
|
|
||
|
Mfalme atakuwa mwema, na atafanya mambo mema kwa watu wake kana kwamba alikuwa mvua ikiifanyia mema nyasi zilizotoka kukatwa."
|
||
|
|
||
|
# Aje
|
||
|
|
||
|
"Natamani kwamba aje"
|
||
|
|
||
|
# kama mvua zinazomwagia
|
||
|
|
||
|
"Aje chini kama mvua zinazomwagia." Mfalme atakuwa mwema, na atafanya mambo mema kwa watu wake kana kwamba alikuwa mvua ikiifanyia mema ardhi.
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki
|
||
|
|
||
|
Kivumishi "haki" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "mtu mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# katika siku zake
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wakati mfalme anatawala" au 2) "maadamu mtu mwenye haki anaishi" au "maadamu watu wenye haki wanaishi"
|
||
|
|
||
|
# kuwepo amani tele
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba amani ni kitu cha kugusa kama chakula. "Tele" ni wakati kuna kingi kwa kitu. "watu wenye haki waweze kuishi kwa amani ya kweli"
|
||
|
|
||
|
# hadi mwezi usiwepo tena
|
||
|
|
||
|
"maadamu mwezi unang'ara" au "milele"
|