forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
735 B
Markdown
20 lines
735 B
Markdown
|
# nitawarudisha
|
||
|
|
||
|
Watakaorudishwa ni adui wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# vilindi vya bahari
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja inayomaanisha sehemu za mbali za duniani ambapo watu watajaribu kumtoroka Mungu.
|
||
|
|
||
|
# uwaponde adui zako
|
||
|
|
||
|
Uharibifu wa adui wa Israeli unazungumziwa kana kwamba Waisraeli waliwagandamiza chini ya miguu yao. "kuwashinda kabisa adui zako"
|
||
|
|
||
|
# unachovya mguu wako kwenye damu
|
||
|
|
||
|
Vurugu ya kutoka kwenye uharibifu wa adui unazungumziwa katika njia ya picha kali, kana kwamba Waisreali watakuwa wakisimama katika damu ya adui zao waliokufa. "kukanyaga katika damu yao"
|
||
|
|
||
|
# ndimi za mbwa wako wawe na gao lao
|
||
|
|
||
|
Umwagaji wa damu katika vita dhidi ya adui wa Israeli unazungumziwa kana kwamba ni mkubwa sana hadi mbwa watalamba damu inayotiririka kwa ndimi zao.
|