forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
519 B
Markdown
20 lines
519 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# kwa bidii
|
||
|
|
||
|
"kwa uaminifu"
|
||
|
|
||
|
# nafsi yangu ina kiu na wewe, na mwili wangu una shuku na wewe
|
||
|
|
||
|
Vishazi hivi viwili vinamaana mojana vinatumikapamoja kusisitiza jinsi mwandishi anavyotamani kuwana Mungu. "mwili wangu wote unatamani kuwa na wewe"
|
||
|
|
||
|
# nchi kavu na iliochoka
|
||
|
|
||
|
"jangwa kavu lenye joto"
|