forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
768 B
Markdown
16 lines
768 B
Markdown
|
# jina lake lipotee
|
||
|
|
||
|
Kama jina la mtu linakufa, inamaanisha kuwa watu wanasahau kuwa aliwahi kuishi. "jina lake litapotea lini" au "watu watasahau lini jina lake"
|
||
|
|
||
|
# Kama adui wangu akija kuniona
|
||
|
|
||
|
Maneno "adui wangu" inamaanisha adui yeyote kwa ujumla, na sio kwa adui bayana yeyoto.
|
||
|
|
||
|
# anasema vitu visivyofaa
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "anasema vitu vya kipuuzi" au 2) adui zake wanasema vitu kumfanya afikiri kuwa ni rafiki zake wakati sio. "anasema vitu vya udanganyifu" au "wanajifanya kumjali"
|
||
|
|
||
|
# moyo wake unajikusanyia wenyewe maafa yangu
|
||
|
|
||
|
Adui zake wanajaribu kujifunza vitu vyote vibaya kumhusu. Hapa neno "moyo" linamaanisha mtu mzima. Matukio mabaya yanazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyoweza kukusanywa. "anajaribu kujifunza kuhusu maafa yangu yote"
|