forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
633 B
Markdown
16 lines
633 B
Markdown
|
# Macho ya Yahwe yako juu ya wenye haki
|
||
|
|
||
|
Hapa "macho ya Yahwe" inamaanisha kutazama kwake kwa makini. "wenye haki" inamaanisha watu wenye haki. "Yahwe huwatazama kwa makini watu wenye haki"
|
||
|
|
||
|
# mskio yake yameelekezwa kwa kilio chao
|
||
|
|
||
|
Hapa "maskio yake" inamaanisha hamu ya Yahwe kuwajibu. "anazingatia kilio chao" au "anajibu kilio chao"
|
||
|
|
||
|
# kukata kumbukumbu yao duniani
|
||
|
|
||
|
Yahwe atawasababisha watu wawasahau kabisa watakapokufa hadi inakuwa kana kwamba ametumia kisu kuikata kumbukumbu yao. "ili watakapokufa, watu watawasahau kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe husikia
|
||
|
|
||
|
Hapa "husikia" inamaanisha kuwa Yahwe anatamani kuwajibu. "Yahwe anawazingatia"
|