forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
932 B
Markdown
28 lines
932 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Maschili
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki.
|
||
|
|
||
|
# ambaye makosa yake yamesamehewa, ambaye dhambi zake zimefunikwa
|
||
|
|
||
|
Misemo hii ina maana ya kufanana. Inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambaye Mungu husamehe makosa yake na kufunika dhambi zake"
|
||
|
|
||
|
# dhambi zake zimefunikwa
|
||
|
|
||
|
Hapa dhambi iliyosamehewa inazungumziwa kana kwamba imefunikwa ili isionekane. "ambaye dhambi yake haijaliwi" au "ambaye dhambi yake inasahauliwa makusudi"
|
||
|
|
||
|
# ambaye Yahwe hamhesabii hatia
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambaye Yahwe anaona hana hatia" au "ambaye hana hatia kulingana na Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# ambaye rohoni mwake hakuna hila
|
||
|
|
||
|
Hapa "roho" inamaanisha mtu. "ambaye hakuna hila" au "ambaye ni mkweli kabisa"
|