forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
576 B
Markdown
16 lines
576 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Zaburi hii inaendelea kueleza jinsi Mungu anavyotujali kama kondoo anavyowajali kondoo wake.
|
||
|
|
||
|
# Hurudisha maisha yangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Mungu anamfanya mtu aliyenyonge na mchovu kuwa na nguvu na kupumzika tena.
|
||
|
|
||
|
# huniongoza katika njia zilizonyooka
|
||
|
|
||
|
Kumwonyesha mtu jinsi ya kuishi katika njia inayo mpendeza Mungu inazungumziwa kana kwamba ni mchungaji anaonesha kondoo njia sahihi ya kuchukua. "Ananionesha jinsi ya kuishi sawa"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya jina lake
|
||
|
|
||
|
Msemo "jina lake" hapa unamaanisha sifa yake. "kwa ajili ya jina lake" au "ili watu wamheshimu"
|