forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
388 B
Markdown
20 lines
388 B
Markdown
|
# Nitazame na unijibu
|
||
|
|
||
|
"Nizingatie na unisikilize"
|
||
|
|
||
|
# Nipe mwanga machoni mwangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kuomba nguvu. "Nifanye kuwa na nguvu tena"
|
||
|
|
||
|
# au nitalala kifoni
|
||
|
|
||
|
"Kulala kifoni" inamaanisha kufa.
|
||
|
|
||
|
# Usimruhusu adui yangu aseme ... ili adui yangu asiseme
|
||
|
|
||
|
"Usimruhusu adui yangu aseme kunihusu ... ili adui yangu asiseme kunihusu"
|
||
|
|
||
|
# ninapoletwa chini
|
||
|
|
||
|
"ninapoanguka" au "wanaponishinda"
|