forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
841 B
Markdown
28 lines
841 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# ninamkimbilia Yahwe
|
||
|
|
||
|
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwa Yahwe kwa ulinzi"
|
||
|
|
||
|
# utasemaje kwangu, "Kimbia kama ndege milimani?"
|
||
|
|
||
|
Swali hili linaulizwa kutoa msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kwa hiyo usiniambie kukimbia!"
|
||
|
|
||
|
# Maana tazama! Waovu wanaanda upinde wao. Wanafanya tayari mishale yao kwenye nyuzi kupiga gizani kwa wanyofu moyoni.
|
||
|
|
||
|
"Tazama! waovu wanajiandaa kuvamia watu wanyofu"
|
||
|
|
||
|
# wanyofu moyoni
|
||
|
|
||
|
Hapa "wanyofu moyoni" inamaanisha watu wanaomcha Mungu au wenye haki.
|