forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
421 B
Markdown
16 lines
421 B
Markdown
|
# anaye tawala Sayuni
|
||
|
|
||
|
"anayeishi Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# waambie mataifa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mataifa" yamaanisha watu wote.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa Mungu anayelipiza kisasi cha damu iliyo mwagika hukumbuka
|
||
|
|
||
|
Kile anachokumbuka kinaweza kuwekwa wazi. "Kwa kuwa Mungu anaye lipiza kisasi umwagaji damu anawakumbuka wale waliouliwa" au "Kwa kuwa Mungu hukumbuka anawakumbuka wale waliouliwa na kuwaadhibu wauwaji"
|
||
|
|
||
|
# hasahau kilio chao
|
||
|
|
||
|
"Anajali kilio chao"
|