forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
611 B
Markdown
28 lines
611 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# kwenye vyombo vya nyuzi
|
||
|
|
||
|
"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu"
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Nijibu ninapoita
|
||
|
|
||
|
"Nisaidie ninapoita"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa haki yangu
|
||
|
|
||
|
"Mungu, unayeonesha kuwa ni mwenye haki"
|
||
|
|
||
|
# nipe nafasi ninapozungukwa
|
||
|
|
||
|
Kuwa hatarini inazungumziwa kama kuwa katika nafasi finyu. "niokoe ninapokuwa hatarini"
|