forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
405 B
Markdown
20 lines
405 B
Markdown
|
# madaha ni udanganyifu
|
||
|
|
||
|
"mwanamke mwenye huruma anaweza kuwadanganya watu" au "mwanamke mwenye tabia njema anaweza kuwa mwovu"
|
||
|
|
||
|
# uzuri ni ubatili
|
||
|
|
||
|
"mwanamke ambaye ni mzuri sasa hawezi kuwa mzuri daima"
|
||
|
|
||
|
# atasifiwa
|
||
|
|
||
|
"watu watamsifu"
|
||
|
|
||
|
# matunda ya mikono yake
|
||
|
|
||
|
"pesa anazopata" angalia 31:13 na 31:16
|
||
|
|
||
|
# kazi zake na zimsifu katika malango
|
||
|
|
||
|
"watu wakuu wa mji na wamsifu kwa kazi zake nzuri alizofanya"
|