forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
645 B
Markdown
40 lines
645 B
Markdown
|
# Kama yeye
|
||
|
|
||
|
"kama mtu"
|
||
|
|
||
|
# atageuzia mbali sikio lake kuisikia sheria
|
||
|
|
||
|
"atageuzia mbali sikio lake kusikia na kutii sheria"
|
||
|
|
||
|
# hata maombi yake ni chukizo
|
||
|
|
||
|
"Mungu anachukia hata maombi yake"
|
||
|
|
||
|
# chukizo
|
||
|
|
||
|
angalia 3:31
|
||
|
|
||
|
# Yeyote mwenye kumpotosha mwenye haki katika njia mbaya
|
||
|
|
||
|
"Yeyote anayesababisha mwenye haki kwenda katika mwelekeo mbaya"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote mwenye kumpotosha...njia mbaya ataanguka
|
||
|
|
||
|
"kama mtu yeyote atampotosha...njia mbaya ataanguka"
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki
|
||
|
|
||
|
"watu wanyoofu"
|
||
|
|
||
|
# ataanguka kwenye shimo lake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"ataanguka kwenye mtego ambao ameuchimba"
|
||
|
|
||
|
# wakamilifu
|
||
|
|
||
|
"watu wakamilifu"
|
||
|
|
||
|
# watapata urithi mzuri
|
||
|
|
||
|
"watarithi kitu kizuri"
|