forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
785 B
Markdown
24 lines
785 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# Ni nani mwenye ole? Ni nani mwenye huzuni? Ni nani mwenye mapigano? Ni nani mwenye malalamiko? Ni nani mwenye majeraha bila sababu? Ni nani mwenye macho mekundu?
|
||
|
|
||
|
"Sikilizeni nataka kuwaambia mtu wa ole, huzuni, mapigano, malalamiko, mjeraha bila sababu, na macho mekundu."
|
||
|
|
||
|
# macho mekundu
|
||
|
|
||
|
"macho kuwa na rangi nyekundu kama ya damu"
|
||
|
|
||
|
# Wale ambao hukawia sana kwenye mvinyo, wale ambao hujaribu kuchanganya mvinyo
|
||
|
|
||
|
Hili ni jibu la maswali ya mstari wa 29. Kuelezea watu ambao hunywa sana mvinyo.
|
||
|
|
||
|
# hukawia sana kwenye mvinyo
|
||
|
|
||
|
hutumia muda mwingi kunywa mvinyo na hunywa mvinyo mwingi
|
||
|
|
||
|
# kuchanganya mvinyo
|
||
|
|
||
|
1) kuchanganya aina mbalimbali za mvinyo au 2) vileo vingine ambavyo ni vikali kuliko mvinyo
|