forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
412 B
Markdown
24 lines
412 B
Markdown
|
# mtu mwenye hasira
|
||
|
|
||
|
"mtu ambaye hupata hasira upesi"
|
||
|
|
||
|
# lazima alipe malipo ya kosa
|
||
|
|
||
|
" lazima apate madhara ya hasira yake" au "lazima abebe matokeo ya matendo yake wakati wa hasira"
|
||
|
|
||
|
# kama utamwokoa
|
||
|
|
||
|
" kama utamaidia baada ya kupata hasira yake ya ghafla"
|
||
|
|
||
|
# mara ya pili
|
||
|
|
||
|
"mara mbili" au "tena"
|
||
|
|
||
|
# sikiliza ushauri na ukubali maelekezo
|
||
|
|
||
|
haya ni maneno ya kusisitiza umuhimu.
|
||
|
|
||
|
# sikiliza
|
||
|
|
||
|
"zingatia ushauri"
|