forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
308 B
Markdown
16 lines
308 B
Markdown
|
# moyo wenye furaha huufanya uso kuwa mchangamfu
|
||
|
|
||
|
"mtu anapokuwa na furaha, uso wake ni mchangamfu"
|
||
|
|
||
|
# huvunja moyo
|
||
|
|
||
|
" humfanya mtu akate tamaa"
|
||
|
|
||
|
# moyo wa mwenye ufahamu
|
||
|
|
||
|
"mtu mwenye ufahamu"
|
||
|
|
||
|
# kinywa cha wapumbavu hula upumbavu
|
||
|
|
||
|
"watu wapumbavu hutamani upumbavu kana kwamba ni chakula ambacho wangekula"
|