sw_tn/num/35/01.md

12 lines
241 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# nyanda
eneo kubwa ambalo ni tambarare
# wa ardhi yao kwa Walawi
BWANA hakuwapatia Walawi ardhi yao, kwa hiyo walitakiwa kuishi kwenye miji ambayo ilikuwa ya makabila mengine.
# eneo la malisho
eneo la malisho ambalo mifugo kuchungiwa