forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
936 B
Markdown
28 lines
936 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii mistari inaendelea kumwelezea mtawala kutoka Bethelehemu.
|
||
|
|
||
|
# Atasimama na kulichunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe
|
||
|
|
||
|
"Atawaongoza watu wake katika nguvu ya Yahwe."
|
||
|
|
||
|
# katika ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake
|
||
|
|
||
|
"katika mamlaka ya nguvu ya Yahwe Mungu wake"
|
||
|
|
||
|
# Watabaki
|
||
|
|
||
|
Hapa "wao" inawarejea watu wa Israeli. Neno "Israeli" au "Yerusalemu" imehusika. "Watu watabaki Israeli" au "Watu watabaki katika Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba mbeleni watu wote kutoka kila taifa watatoa heshima kwa mtawala wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Atakuwa amani yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "yetu" inamrejea Mika na watu wa Israeli. "Atakuwa mtu wa amani"
|
||
|
|
||
|
# wachungaji saba na viongozi saba juu ya watu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wachungaji" inamaanisha "watawala." pia, unaweza kutaka kuongeza rejea inayosema, "Hesabu 'saba' na 'nane' zimeunganishwa kumaanisha kwamba zitakuwa zaidi za kutosha viongozi kukutana na hitaji."
|