forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
610 B
Markdown
16 lines
610 B
Markdown
|
# Nitawatazama kwa upendeleo
|
||
|
|
||
|
"Nitawaonyesha upendeleo" au "Nitawabariki nyinyi"
|
||
|
|
||
|
# kuwafanya nyinyi mzae na kuwazidisha nyinyi
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vinamrejerelea Mungu akiwasababisha wao kuwa na wazao wengi kwa hiyo wanakuwa kundi kubwa.
|
||
|
|
||
|
# kuwafanya nyinyi mzae
|
||
|
|
||
|
Mungu anakuzungumzia kuwa na watoto kwao kana kwamba walikuwa miti izaayo matunda mengi. : "nitawasababisha kuwa na watoto wengi"
|
||
|
|
||
|
# Mtakula chakula kilichotunzwa ghalani kwa muda mrefu
|
||
|
|
||
|
"Mtakuwa na chakula kilichohifadhiwa ghalani cha kutosha kula kwa muda mrefu" au "Mtakuwa na chakula cha kutosha kuhifadhi ghalani na kukila kwa muda mrefu"
|