forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1003 B
Markdown
28 lines
1003 B
Markdown
|
# Yahweh akazungumza tena na Musa, akisema, "Sema na Aroni na wanawe uwaambie kwamba, 'Hii ndiyo sheria
|
||
|
|
||
|
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : "Yahweh alizungumza na Musa na akamwambia kuzungumza na Aroni na wanawe, akimwambia, 'Hii ndiyo sheria'"
|
||
|
|
||
|
# Sema na Aroni na wanawe
|
||
|
|
||
|
Yahweh anazungumza na Aroni na wanawe, lakini kanuni hizi zinatekelezeka kwa makuhani. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kufanywa wazi.
|
||
|
|
||
|
# Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe... mbele za Yahweh
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuwekwa wazi kwamba hii hurejelea upande wa kaskazini wa madhabahu. Tazama 1:10
|
||
|
|
||
|
# inapochinjwa sadaka ya kuteketezwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji:. : "Yakupasa kuichinjwa sadaka"
|
||
|
|
||
|
# Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mahali unapomchinjia mnyama wa sadaka ya kuteketezwa"
|
||
|
|
||
|
# mbele za Yahweh
|
||
|
|
||
|
"kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# Nayo yapasa kuliwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutmkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yampasa kuila"
|