forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
585 B
Markdown
16 lines
585 B
Markdown
|
# mbele za Yahweh
|
||
|
|
||
|
"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# Ataweka mikono yake juu ya kichw
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama.Tazama maelezo katika 1:3
|
||
|
|
||
|
# wana wa Aroni watainyunyiza damu yake
|
||
|
|
||
|
Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama.
|
||
|
|
||
|
# atatoa dhabihu yake iliyofanywa kwa mot
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ataitoa sdhabihu yake kwa moto" au "ataichoma dhabihu yake"
|