forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
597 B
Markdown
16 lines
597 B
Markdown
|
# "Kwanini umetusumbua?
|
||
|
|
||
|
Yoshua anatumia swali hili kumkemea Akani. "Umetutesa"
|
||
|
|
||
|
# Na wakawachoma wote kwa moto, na wakawapiga mawe
|
||
|
|
||
|
Maana zinazokubalika 1) Waisraeli waliichoma familia ya Akani hadi kifo na kisha wakawafunika kwa mawe. 2) Waisraeli waliipiga kwa mawe familia ya Akani na kisha wakaichoma kwa moto miili yao.
|
||
|
|
||
|
# Yahweh akaachilia mbali hasira yake
|
||
|
|
||
|
Kuachilia mbali hasira ina maana ya kuacha kuwa na hasira. Kuwaka kwa hasira ina maana ya kuwa na hasira kali.
|
||
|
|
||
|
# hata leo
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa bado linaitwa bonde la Akori katika kipindi ambacho mwandishi aliandika. "hata leo" au "hata sasa"
|