forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
621 B
Markdown
28 lines
621 B
Markdown
|
# Wale watu wawili walirudi
|
||
|
|
||
|
Watu wawili walirudi katika kambi ya Waisraeli
|
||
|
|
||
|
# walirudi na kuvuka mto
|
||
|
|
||
|
Haya maelezo ya maana sawa yakirejelea kurudi kule walikokuwa katika kambi ya Waisraeli
|
||
|
|
||
|
# kuvuka
|
||
|
|
||
|
"kuvuka'' ina maana ya kwenda upande wa pili wa ukingo wa mto. Kusafiri kutoka upande huu hadi upande wa pili wa Yordani"
|
||
|
|
||
|
# Nuni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kiume; baba yake na Yoshua
|
||
|
|
||
|
# kila kitu kilichotokea kwao
|
||
|
|
||
|
"mambo yote ambayo watu walikuwa wameyapata na kuyaona."
|
||
|
|
||
|
# sisi
|
||
|
|
||
|
Neno hili 'sisi' linawarejelea Waisraeli
|
||
|
|
||
|
# Wenyeji wote wa nchi wanayeyuka
|
||
|
|
||
|
Watu wa nchi mbele ya Israeli ni kama kitu kinachoyeyuka katika joto.
|