forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
604 B
Markdown
28 lines
604 B
Markdown
|
# Sentensi kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Wapelelezi wa Kiisraeli wanafafanua sharti walilolisema katika 2:15
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Wapelelezi wa Kiisraeli wanaendelea kuongea na Rahabu
|
||
|
|
||
|
# Na yeyote aendaye mtaani nje ya milango ya nyumba yako
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaelezea juu ya sharti kwa kuweka hali ambayo yaweza kutokea
|
||
|
|
||
|
# damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya "kifo chao kitakuwa kwasababu ya makosa yao wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# juu ya vichwa vyao
|
||
|
|
||
|
Neno "vichwa" linawakilisha uwajibikaji binafsi
|
||
|
|
||
|
# hawatakuwa na hatia yoyote
|
||
|
|
||
|
watakuwa waadilifu wasio na kosa
|
||
|
|
||
|
# kama mkono utanyoshwa juu
|
||
|
|
||
|
"kama tutasababisha madhara
|