forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
899 B
Markdown
24 lines
899 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh aendelea kumtia changamoto Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# sehemu ya kupumzikia kwa mwanga,
|
||
|
|
||
|
"sehemu ambayo mwanga hukaa" au " sehemu ambayo mwanga unaishi" Yahweh anauelezea mwanga kana kwamba alikuwa ni mtu.
|
||
|
|
||
|
# sehemu zake za kazi
|
||
|
|
||
|
"kwa mpaka wake' Mpaka huizunguka sehemu ya mwanga na giza. Wakati usiku unapoisha, giza hurudi katika sehemu yake. Na wakati siku inapoisha, mwanga hurudi katika sehemu yake.
|
||
|
|
||
|
# Bila shaka......kubwa sana!
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia kejeli ya kinyume ili kutia mkazo kwamba Ayubu hauelewi mwanga na giza. "Ni wazi kwamba hauelewi kwa sababu ulikuwa bado haujazaliwa wakati nilipoviumba na haukuwa mtu mzima"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa ulizaliwa wakati huo
|
||
|
|
||
|
Neno 'wakati" linarejelea muda ambao mwanga uliumbwa na kutengwa na giza. "kwa kuwa ulikuwa umezaliwa wakati nilipouumba ulimwengu"
|
||
|
|
||
|
# hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
|
||
|
|
||
|
"umeishi miaka mingi sana ' au wewe ni mzee sana"
|