forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
202 B
Markdown
8 lines
202 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu na marafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# roho.... pumzi ya Mwenye nguvu
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anakazia kwamba hekima ya watu hutoka kwa Mungu.
|