forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
452 B
Markdown
16 lines
452 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# hapotezi ndama wake mchanga
|
||
|
|
||
|
" haharibu mimba" au " ndama wake huzaliwa mathubuti na mwenye afya"
|
||
|
|
||
|
# watoto wao kama kundi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anawalinganisha watoto hawa na wanakondoo ili kusisistiza kwamba hukimbia, hucheza, na wanafuraha.
|
||
|
|
||
|
# tari
|
||
|
|
||
|
ni chombo cha muziki chenye ngoma inayoweza kupigwa pamoja na vipande vya chuma pembeni ambavyo hutoa sauti wakati chombo hicho kinapotikiswa.
|