forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1001 B
Markdown
28 lines
1001 B
Markdown
|
# Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anauliza hili swali ili kutengeneza habari. "Mungu hatoi uhai kwa mtu na kisha kuzichukua mbali siku zake za baadaye na kumwekea mpaka yeye."
|
||
|
|
||
|
# Kwanini kupewa mwanga mtu
|
||
|
|
||
|
Hapa mwanga unawakilisha uhai. "Je kwa nini Mungu humweka mtu hai"
|
||
|
|
||
|
# ambaye njia zake zimefichika
|
||
|
|
||
|
Hapa Ayubu anaongelea siku zake za baadaye, ambazo yeye hazijui mapema, kana kwamba Mungu alikuwa amezificha kutoka kwake.
|
||
|
|
||
|
# mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa
|
||
|
|
||
|
Hapa kuwa katika matatizo na hatari yanasemwa kana kwamba walikuwa wamefungwa ndani ya mipaka finyu.
|
||
|
|
||
|
# kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaelezea maumivu yake makubwa katika njia mbili.
|
||
|
|
||
|
# kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula
|
||
|
|
||
|
"Badala ya kula, mimi naomboleza"
|
||
|
|
||
|
# kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
|
||
|
|
||
|
ubora wa maadili na hisia kama vile huzuni mara kwa mara huongelewa kana kwamba yalikuwa maji.
|