forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
743 B
Markdown
36 lines
743 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA anaendelea kuwakumbusha wa Yuda jinsi watu wa Israeli walivyoasi
|
||
|
|
||
|
# kwa kufuata mipango yao ya uasi ya mioyo ya maovu
|
||
|
|
||
|
"kwa kufuata mipango yao kwa sababu walikuwa waovu na wasumbufu
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo walirudi nyuma badala ya kuendelea mbele
|
||
|
|
||
|
"kwa hiyo walikataa kunisikiliza mimi, badala ya kunisikiliza kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wangu
|
||
|
|
||
|
"watumishi wangu wote
|
||
|
|
||
|
# Niliendelea kuwatuma
|
||
|
|
||
|
"kwa bidii niliwatuma kila siku"
|
||
|
|
||
|
# manabii wangu, kwenu
|
||
|
|
||
|
neno "kwenu" linamaanisha watu wa Yuda na mababu zao wote.
|
||
|
|
||
|
# Hawakunisikiliza
|
||
|
|
||
|
neno "ha" linamaanisha watu wa Israeli walioishi tangu mababu zao kutoka Misri.
|
||
|
|
||
|
# walishupaza shingo zao
|
||
|
|
||
|
"kwa ukatili walikataakunisikiliza"
|
||
|
|
||
|
# waikuwa waovu zaidi
|
||
|
|
||
|
"kila kizazi kilikuwa cha uovu"
|