forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
1.3 KiB
Markdown
52 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Simama kwenye njia panda
|
||
|
|
||
|
BWANA anaongea na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Simama kwenye njia panda ...Htutaenda
|
||
|
|
||
|
Haya mabarabara na njia inamaanisha aina ya maisha ambyo watu wanaishi. BWANA anataka watu wa Israeli waulize aina ya maisha mazuri kwao kuishi.
|
||
|
|
||
|
# uliza njia za zamani
|
||
|
|
||
|
"uliza mababu zao waliishije"
|
||
|
|
||
|
# Niliweka walinzi juu yenu ... Hatutasikia
|
||
|
|
||
|
BWANA anawaeleza manabii kama walinzi ambao walitumwa kuwaonya watu katika hatari.
|
||
|
|
||
|
# niliwaweka.. juu yenu
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi "yenu" kinamaanisha Israeli
|
||
|
|
||
|
# wasikilize tarumbeta
|
||
|
|
||
|
"kusiliza sauti za tarumbeta" BWANAanawaamuru watu wasikilize maonyo ambayao aliwapatia kupitia kwa manabii.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo, sikilizeni, enyi mataifa! Tazamaeni enyi mashahidi, muone kile kitakachowapata. Sikia wewe dunia, Tazama.
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vitatu vyote viinawaambia watu wa mataifa mengine kushudia kile ambacho BWANA atafanya kwa hili taifa pinzanij la Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Niko tayari kuleta janga kwa watu hawa
|
||
|
|
||
|
"kwa haraka nitawaadhibu watu hawa"
|
||
|
|
||
|
# enyi mashahidi
|
||
|
|
||
|
"enyi ambao mtashuhudia"
|
||
|
|
||
|
# kitakachowapata
|
||
|
|
||
|
"neno "wa" linamaanisha watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# sikia wewe, dunia
|
||
|
|
||
|
"Sikia, watu wanaoishi katika dunia."
|
||
|
|
||
|
# matunda ya fikra zao
|
||
|
|
||
|
"janga ni matokeo ya fikra zao."
|
||
|
|
||
|
# Hwakusikiliza neno langu wala sheria zangu badala yake walizikataa.
|
||
|
|
||
|
"Hawakusikiliza nilichowaambia kufanya"
|