forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
414 B
Markdown
12 lines
414 B
Markdown
|
# Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko ... kuolewa na Mbenyamini
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatuambia juu ya ahadi waliyoifanya Waisraeli kabla ya vita na Wabenyamini.
|
||
|
|
||
|
# Mbenyamini
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la uzao wa Benyamini.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?
|
||
|
|
||
|
Waisraeli walitumia swali hili kuelezea ni kwa namna gani walikuwa na huzuni kubwa.
|