forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
293 B
Markdown
16 lines
293 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mjumbe wa Zebuli anaendelea kuzungumza na Abimeleki.
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaonesha umuhimu wa jambo linalofuata.
|
||
|
|
||
|
# uvamizi
|
||
|
|
||
|
"kujificha na kushambulia ghafla"
|
||
|
|
||
|
# fanyeni chochote mnachoweza
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wanaweza kufanya jambo lolote ili kuwaangamiza wafuasi wa Gaali.
|