forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
491 B
Markdown
20 lines
491 B
Markdown
|
# tatu
|
||
|
|
||
|
"3"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alituma roho mbaya kati ya Abimeleki na viongozi wa Shekemu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu aliifanyia kazi laana aliyoitoa Yotamu kwa kutuma roho mbaya isababishe tatizo kati ya Abimeleki na viongozi wa Shekemu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu alifanya hivyo ili uhalifu uliofanywa ... walimsaidia kuua ndugu zake.
|
||
|
|
||
|
"Mungu alifanya hivi ili kulipiza kisasi cha wana sabini ambao waliuawa na Abimeleki na watu wa Shekemu wakamsaidia"
|
||
|
|
||
|
# Sabini
|
||
|
|
||
|
"70"
|
||
|
|
||
|
# Yerubaali
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la Gideoni.
|