forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
874 B
Markdown
32 lines
874 B
Markdown
|
# Ikiwa mlifanya kwa uaminifu na uelekevu pamoja na Jerubalai na nyumba yake
|
||
|
|
||
|
Yotamu anaonesha kuwa kwa namna moja walichokifanya ni kitu kizuri japokuwa Yotamu haamini moja kwa moja kuwa wamefanya jambo zuri.
|
||
|
|
||
|
# Yerubaali
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la Gideoni
|
||
|
|
||
|
# Nyumba yake
|
||
|
|
||
|
"nyumba" inawakilisha familia.
|
||
|
|
||
|
# Lakini ikiwa sio
|
||
|
|
||
|
Yotamu anaonesha upande mwingine kuwa wakichokifanya ni makosa na anatoa laana. Yotamu anaamini kuwa walichokifanya ni makosa.
|
||
|
|
||
|
# moto utoke kwa Abimeleki, ukawaangamize watu wa Shekemu
|
||
|
|
||
|
Yotamu anatoa laana. anazungumza juu ya Abimeleki kuwaharibu watu wa Shekemu kwa kuwaangamiza kwa moto.
|
||
|
|
||
|
# Basi moto utoke kwa watu wa Shekemu na Beth Milo, ili kumteketeza Abimeleki.
|
||
|
|
||
|
Yotamu anatoa laana. anazungumza juu ya Shekemu na Beth Milo kumteketeza Abimeleki kwa kumuangamiza kwa moto.
|
||
|
|
||
|
# Beth Milo
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali.
|
||
|
|
||
|
# Beeri
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji
|