forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
450 B
Markdown
28 lines
450 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hapa msimuliaji anaanza kusimulia sehemu nyingine mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Zeba na Salmuna
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Karkori
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# Watu elfu kumi na tano
|
||
|
|
||
|
"watu 15,000"
|
||
|
|
||
|
# watu waliofundishwa kupigana na upanga
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia nyingine ya kuwaelezea askari
|
||
|
|
||
|
# Na upanga
|
||
|
|
||
|
"upanga" inawakilisha upanga au silaha nyingine ambazo askari huzitumia vitani.
|
||
|
|
||
|
# walianguka
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ya upole inayomaanisha watu waliokufa vitani.
|