forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
500 B
Markdown
24 lines
500 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Baraka anafanya majadiliano na Debora.
|
||
|
|
||
|
# Baraka
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# njia unayoienda haitakupa heshima
|
||
|
|
||
|
Maamuzi aliyoyafanya Baraka yanafananishwa kama njia aliyoichagua Baraka kusafiria. Pia "heshima" inazungumzwa kama mwisho wa safari.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa Bwana atamuuza Sisera mkononi mwa mwanamke
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" imetumika kama nguvu za kumuua. "Kwa maana Bwana atasababisha mwanamke amshinde Sisera"
|
||
|
|
||
|
# Sisera
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Debora
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|