forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
400 B
Markdown
20 lines
400 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
hapa msimuliaji anatuelezea habari kuhusu Debora.
|
||
|
|
||
|
# Debora
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# Lapidothi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Mwamuzi
|
||
|
|
||
|
Mungu alichagua mwamuzi kuwaongoza wana wa Israeli katika nyakati za shida baada ya kuingia katika nchi ya ahadi na kabla ya kuwa na wafalme. mara nyingi waamuzi waliwaokoa Waisraeli toka kwa maadui.
|
||
|
|
||
|
# mtende wa Debora
|
||
|
|
||
|
Mti huu ulipewa jina la Debora.
|