forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
553 B
Markdown
24 lines
553 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Tazama: tafsiri ya majina
|
||
|
|
||
|
# jina la Debiri hapo awali ilikuwa Kiriath-seferi
|
||
|
|
||
|
Mwandishi aliandika hivi kwa kuwa yamkini wasomaji wake walifahamu juu ya mji wa Debiri. lakini wakati ambao Israeli walivamia palikuwa pakiitwa Kiriath-seferi.
|
||
|
|
||
|
# Awali
|
||
|
|
||
|
"siku za nyuma" au "wakati wa nyuma"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote atakayeivamia Kiriath-seferi na kuichukua
|
||
|
|
||
|
"Kiriath-seferi" ina maanisha watu. Yeyote atakayeivamia na kuiteka Kiriath-seferi na kuchukua mji wao"
|
||
|
|
||
|
# Aksa
|
||
|
|
||
|
Jina la binti wa Kalebu
|
||
|
|
||
|
# Otinieli, mwana wa Kenazi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume
|